Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Christina Mndeme (kushoto) akimshukuru mtoto Aisha Mshantu kwa Msaada wa madawati 50 yenye thamani ya shilingi milioni 5.2 aliyoyatoa katika shule ya Msingi Mwenge iliyopo Kata ya Mbabala Manispaa ya Dodoma. PICHA KWA HISANI YA OFISI YA MKURUGENZI WA MANISPAA
Mtoto Aisha Mshantu (kulia )akimkabidhi madawati 50 yenye thamani ya shilingi milioni 5.2 Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Christina Mndeme aliyoyatoa katika shule ya Msingi Mwenge iliyopo Kata ya Mbabala Manispaa ya Dodoma. PICHA KWA HISANI YA OFISI YA MKURUGENZI WA MANISPAA
Mtoto Aisha Mshantu na wazazi wake Mzee Mshantu (wa kwanza kulia) na Bi Rehema (wa pili kulia) wakiwa amekaa katika madawati aliyoyatoa mtoto huyo kama msaada katika shule ya Msingi Mwenge iliyopo Kata ya Mbabala Manispaa ya Dodoma. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Christina Mndeme. PICHA KWA HISANI YA OFISI YA MKURUGENZI WA MANISPAA
Post a Comment