Mpango wa Urasimishaji Makazi Holela Jijini Dar waanza kutekelezwa.
Kaimu Mkurugenzi wa Urasimishaji makazi holela toka Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bibi Betha Mlonda akifafanua kwa waandishi wa Habari kuhusu mpango wa urasimishaji makazi yaliyojengwa kiholea katika Jiji la Dar es saaam ambao umeanza kutekelzwa katika eneo la Kimara Jijini humo .kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari- Maelezo Bi Fatma Salum na kushoto ni Afisa Habari wa Wizara hiyo Bw. Hassan Mabuye.
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifuatilia mkutano wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Vyombo vya Habari leo Jijini Dar es salaam.
Moja ya eneo lenye makazi holela katika Jiji la Dar es salaam.
Mmoja wa Wataalamu wa upimaji Ardhi akiweka alama katika eneo lililorasimishwa.
(Picha na Frank Mvungi-Maelezo)
Post a Comment