Ads

HABARI PICHA: MKUU WA MKOA WA SINGIDA AFUNGUA MAONYESHO YA NANENANE KANDA YA KATI DODOMA

Na:Mathias Canal Dodoma 
mwambawahabari


Mkuu wa Mkoa wa wa Singida Mhandisi Mathew Mtigumwe (Kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Miraji Jumanne Mtaturu wakati wa ufunguzi wa maonyesho ya Nane Nane katika uwanja wa maonyesho ya kilimo Nzuguni Mkoani Dodoma


Viongozi wa Mkoa wa Dodoma na Singida wakitembelea baadhi ya vibanda vya maonyesho wakati wa ufunguzi wa Maonyesho ya Nane Nane


Mgeni rasmi alipotembelea banda la dawa za kilimo, uvuvi na ufugaji Farmer Centre and Farm base


Baadhi ya Wakuu wa Wilaya za Dodoma na Singida wakiongozwa na Mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Singida Mathew Mtigumwe wakikagua eneo la maonyesho ya kilimo cha zao la zabibu



 Mgeni rasmi akisikiliza kwa kina maelezo juu ya matumizi ya matrekta kwa ajili ya kilimo


Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Miraji Jumanne Mtaturu akiwasalimu wananchi wakati wa ufunguzi wa maonyesho hayo


Baadhi ya Wakuu wa Wilaya za Dodoma na Singida wakiongozwa na Mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Singida Mathew Mtigumwe wakikagua eneo la maonyesho ya mboga mboga

 Baadhi ya Wakuu wa Wilaya za Dodoma na Singida wakiongozwa na Mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Singida Mathew Mtigumwe wakikagua eneo la maonyesho ya bwawa la samaki lenye samaki aina ya perege, kambare na kamongo liloandaliwa na Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba


Zoezi la kutembelea mabanda ya maonyesho likiwa linaendelea

No comments