Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye akipokea zawadi ya maua mara baada ya kuwasili katika viwanja vya
Hotel ya Southern Sun Jijini Dar es Salaam kufungua mashindano ya magari Afrika
Mashariki (East African Classic Safari Rally) yanayofanyika kuanzia Julai 8
mpaka 10 mwaka huu.
|
Post a Comment