Ads

Vyuo vikuu vyatakiwa kuunga mkono Serikali katika kujenga Tanzania ya Viwanda




Picha zote Na Ally Daud-Maelezo
Waziri wa Elimu , Sayansi , teknolojia na mafunzo ya  Ufundi Prof. Joyce Ndalichako akiongea na wadau kutoka Vyuo Vikuu mbalimbali nchini hawapo pichani  hiko wakati wa ufunguzi wa wa maonesho ya 11 ya elimu ya juu , sayansi na teknolojia leo jijini Dar es salaam.




Waziri wa Elimu , Sayansi , teknolojia na mafunzo ya  Ufundi Prof. Joyce Ndalichako wa kwanza kulia akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Chuo Kikuu Ardhi wakati wa ufunguzi wa  maonesho ya 11 ya elimu ya juu , sayansi na teknolojia leo jijini Dar es salaam na wa pili kulia ni ni Katibu Mtendaji (TCU) Prof. Eleuther Mwageni.




Waziri wa Elimu , Sayansi , teknolojia na mafunzo ya  Ufundi Prof. Joyce Ndalichako wa kwanza kulia akipokea maelekezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Chuo Kikuu Agakhan Prof.Joe Lugalla wa kwanza kushoto alipotembelea banda la chuo hiko wakati wa ufunguzi wa  maonesho ya 11 ya elimu ya juu , sayansi na teknolojia leo jijini Dar es salaam.



Waziri wa Elimu , Sayansi , teknolojia na mafunzo ya  Ufundi Prof. Joyce Ndalichako wa kwanza kushoto akipokea maelekezo na kupakwa mafuta  kutoka kwa Mdhamiri wa Chuo Kikuu Zanzibar Bw.Omar Kassim kwanza kulia  alipotembelea banda la chuo hiko wakati wa ufunguzi wa  maonesho ya 11 ya elimu ya juu , sayansi na teknolojia leo jijini Dar es salaam.

No comments