mwambawahabariblog
 |
Kaimu Mkurugenzi, Idara ya Maendeleo ya Sanaa, Wizara
ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi. Leha Kihimbi akiwasisitizia
baadhi ya Viongozi wa Mashirikisho ya Sanaa Tanzania pamoja na Wadau wa masuala
ya Sanaa kuhusu umuhimu wa Fursa ya Sanaa inayodhaminiwa na Taasisi hiyo, 19
Julai, 2016 jjijini Dar es Salaam.
|
 |
Kaimu Mkurugenzi British
Council Tanzania, Bi. Nesia Mahenge akiwaelekeza baadhi ya Viongozi wa
Mashirikisho ya Sanaa Tanzania pamoja na Wadau wa masuala ya Sanaa kuhusu Fursa
ya Sanaa inayodhaminiwa na Taasisi hiyo, 19 Julai, 2016 jjijini Dar es Salaam. |
(Picha/Habari na Benedict Liwenga-WHUSM)
Post a Comment