PPRA YAZIONYA TAASISI ZA UMMA ZILIZO CHELEWESHA TAARIFA ZA MANUNUZI
N; John Luhende
mwambawahabari
Mamlaka ya udhibi wa manunuzi ya uma (PPRA) imezitaka taasisi za serikali ambazo hazija wasilisha taarifa ya mipango yake ya manunuzi ya mwaka wa fedha 2016/17 kuwasilisha maramoja kwa kuwa kuchelewesha taarifa hizo ni kinyume cha sheria ya manunuzi ya mwaka 2001 kifungu cha 104 (c).
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam mtendaji mkuu wa mamlaka hiyo Dr Laurent
Shirima amesema hatua hiyo imekuja baada
ya taassi nyingi za serikali kutowasilisha taarifa zao ndani ya muda wa kawaida
kisheria kupita ameongeza kuwa taarfa
hizo zilitakiwa kuwahishwa ili zichapishwe katika jarida la PPRA pamoja na
kwenye tovuti ili kuiwezesha
mamlaka hiyo kutekeleza kazi zake za
usimamizi wa manuuzi ya umma.
Adha shirima amesema
tangu mwaka wafedha umeanzan mnamo tarehe 1july /2016 nitaasisi 145 kat ya
taasisi 506 pekee ndizo zi mewasilisha taarifa
zake na ametaja kuwa hatua hiyo
ya ucheleweshaji ina imecha ngia kwa kiasi kikubwa kutofikiwa
kwa malengo ya mamlaka hiyo pamoja na kwamba wakuu wa manunu zi wa
idara hizo wamepewa taarifa mapema.
Post a Comment