LHRC YAZINDUA RIPORT YA BIASHARA NA HAKI ZA BINADAMU
mwambawahabari
Imebainishwa kuwa zaidi ya watoto million tano
wenyenye umri chini ya miaka
18 ambao ni sawa na asilimia 84
wamebainika kufanyishawa
kazi katika setor tofaut
maeneo mbalimbali hapa nchini
ikiwemo maeneo ya mashambani.
Hayo yamebainishwa na mwana sheria wa( LHRC) Clarence Kipobota wakati akiwasilisha taarifa
ya biashara na hakiza binadamu iliyo andaliwa nan a kituo cha sheria na haki
za binadamu (LHRC) iliyo zinduliwa leo jijini Dar es salaam ambapo asilimia 60 ya wafanya kazi waliofikiwa na
waandaaji wa taarifa hiyo wamebainika
kufanya kazi bila mikataba rasimi na
wengine kuwa na mikataba mibovu ikiwemo
sector ya uchukuzi na sector ya habari.
Akizungumza mara
baada ya kupokea taarifa hiyo mkurugezi wa
wa wizara ya viwanda , biashara na uwekezaji bw Alfred Mapunda amesema
serikali ina tambua changamoto
zilizopo na ina endelea kuhimiza wahusika kushirikiana na serikali ku ili kuweza
kuzimaliza changamoto hizo kuhimiza makundi ya wafanya kazi wasiokuwa na
vyama vya wafanya kazi kuunda vya ma ili
kutetea maslahi yao.
Pamoja na hayo mkurugenzi wa
kituo cha sheria na haki za binadamu bi Hellen Kijo Bisimba ameielzea taarifa hiyo kuwa imejikita katika mambo mengi muhimu ikiwemo Aridhi
ambapo wanachi wengi ardhi yao imekuwa ikitwaliwa na wawekezaji bila kulipwa
fidia na kuangukia katika migogoro ,ukatili wa kijinsia ,masuala ya ukusanyaji
kodi na misamaha mingi kwa wawekezaji
Post a Comment