BARAZA LA WAGANGA WA TIBA ,NA USHAURI NA UTAFITI WA DAWA ASILI TANZANIA ( BAWATA ) LAPINGA KUFUNGIWA KWA WENZAO
mwambawahabariblog
Baraza la waganga wa tiba,ushauri na utafiti
wa dawa asilia Tanzania
(BAWATA) limesema lime sikitishwa na
na utendaji wa kazi unaofanywa na
Baraza la tiba Asili na tiba
mbadala kwa kuvifungia vituo vya Fore plan
Dr Mwaka ‘ The father gate sanitarium clinic, naMandai Heabal clinic
kwa makossa yasiyo kuwa ya msingi .
Akizungumza
na waandishi wa habari jijini Dar es salaam
mwenyekiti wa chama hicho Dr Mohamed Matokeo amesema kuwa kuvifungia
vituo hivyo ni uonevu kwa ni wahusika hawakuhojiwa na
kutengeneza mgogoro usio wa msingi baina
ya chama hicho na chombo hicho cha serikali , ameongeza kuwa kufungwa kwa
vituo hivyo ni kutokana na mgongano wa kima slahi ambao umeonekana wazi wazi kuwa wenye vituo hivyo wa pata wateja wengi .
Aidha
amemwomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe
Magufuli kulitupia macho Baraza
na Wizara mama ili kujua hali halisi , na ameomba
Baraza kurudishwa katika Wizara ya Elimu kuliko kuwa
Wizara ya Afya, na wameomba
sheria za usjili wa waganga ziangaliwe
upya kwani kuna waganga kwani kuna mambo yana yo kwamisha waganga wasisajiliwe na kujenga mazingira ya Rushwa hasa kwa watendaji wa kata ,vitongoji na
vijiji .
,,Tuna patwa na wasiwasi
sana kuona juhudi za Waziri wa Afya
zinaweza kukwamishwa na watendaji
wa Baraza pamoja na Wizara ya Afya
,,
Ameongeza
kuwa hatua hii ya kufunga vituo hivyo
itaathili waTanzania wengi walio kuwa wkipata huduma za
kimatibabu katika vituo hivyo pia ajira
za watu wengi ambao wali kuwa wakihudumia zitakuwa mashakani hivyo ni bora inge angaliwa njia nyingine
bora ya badala ya njia hii ilyo tumika
Post a Comment