Ads

CHILUNDA AIFUNGIA BAO PEKEE AZAM FC YAIBUKA NA USHINDI WA 1-0 DHIDI YA MWADUI FC SHINYANGA





Azam FC ya Dar es Salaam imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga, bao pekee la mshambuliaji wake, Shaaban Iddi Chilunda dakika ya 20 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ambao wenyeji walipoteza mkwaju wa penalti baada ya Gerald Mathias kupiga nje dakika ya tano 

No comments