TAZAMA :Matukio katika Picha DC Mjema Atembelea shule za Sekondari Jangwani na Azania Dar es Salaam
Mhe.Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema akizungumza jambo wakati alipotembelea shule ya Sekondari Jagwani.
Mhe. Mjema akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa shule ya Jangwani, na kuaasa wasome kwa kuangalia malengo waliojiwekea na kukataa mimba za utotoni zenye kukatisha ndoto zao.
Baadhi ya Majengo yaliokarabatiwa yakiwemo Mabweni, vyoo, na vyumba vya madarasa.
Mhe.Mjema akisalimiana na Makamu Rais wa wanafunzi katika shule ya Azania God love Kapufi(kushoto)
Katika Picha DC Mjema akizungumza jambo na mmoja wa Wanafunzi hao.
Picha ya pamoja baada ya kukagua maendeleo ya Ukarabati wa Majengo katika shule ya Azania na Jangwani katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Post a Comment